Taasisi ya Confucius katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam
Date of Establishment:
huo Kikuu cha Dar es Salaam - Taasisi ya Confucius kilianzishwa kwa ushirikiano kati ya Chuo Kikuu cha Walimu cha Zhejiang (Zhejiang NormaL University), China na Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Tanzania, mnamo Januari 2013. Kufikia mwaka 2025, taasisi hiyo imeanzisha vituo vya kufundishia 14 nchini Tanzania. Taasisi ya Confucius inatoa kozi mbalimbali ikiwa ni pamoja na: Kozi ya shahada ya ualimu kwa lugha ya Kichina na Kiingereza, Kozi ya diploma ya Kichina, Kozi ya Kichina ya hiari, Mafunzo ya Kichina Kwa vitendo, Kozi ya sanaa ya mapigano (Wushu), Kozi za maandalizi ya mtihani wa HSK, Kozi ya nyimbo za Kichina, Na kozi za dansi. Kufikia mwaka 2025, idadi ya wanafunzi walioshiriki katika mafunzo ya taasisi hiyo inakadiriwa kufikia karibu watu 50,000, na imeandaa zaidi ya matukio ya kitamaduni 500, yaliyoifikia hadhira ya zaidi ya watu 110,000. Mwaka 2017, Taasisi ya Confucius ya Dar es Salaam ilitunukiwa tuzo ya "Taasisi ya Confucius Bora". Aidha, katika miaka ya 2017, 2018, 2019, 2021, 2023, na 2024, taasisi hiyo ilitambuliwa kama “Kituo bora cha mitihani ya lugha ya Kichina (HSK)”. Mkurugenzi wa kwanza na wa tatu wa upande wa China, Zhang Xiaozhen, alitunukiwa tuzo ya “Mtu Binafsi Bora wa Taasisi ya Confucius” na tuzo ya “Mtu wa Mwaka katika Uenezi wa Utamaduni wa Kichina - Mwanga wa Uchina” mnamo mwaka 2013. Mwaka 2016, alichaguliwa kuwa mmoja wa watu 60 muhimu katika uhusiano wa kidiplomasia kati ya China na Afrika, na mwaka 2024 alichaguliwa kuwa mmoja wa watu 60 muhimu katika uhusiano kati ya China na Tanzania, pamoja na kutunukiwa Medali ya Ukumbusho kwa Wakurugenzi wa Taasisi ya Confucius. Mkurugenzi wa pili kutoka China, Liu Yan, alipata tuzo ya "Nuru ya Ustaarabu. Mtu Bora wa Mwaka wa Ubadilishanaji wa Utamaduni wa China 2018".

特色及重点项目

Distinctive and Key Programs

      坦桑尼亚“汉语桥” 大学生中文比赛与小学生中文秀
      坦桑尼亚“汉语桥”大学生中文比赛自2014年起便由达大孔院精心承办。多年来,孔院凭借专业的组织能力、丰富的教学经验以及对活动的精心策划,让这项赛事成为当地中文学习者们心向往之的舞台。在孔院的悉心培育下,一批又一批优秀的坦桑尼亚中文学习者脱颖而出,孔院也收获了无数荣誉与奖项。更有众多在比赛中摘得桂冠的佼佼者,肩负着坦桑尼亚中文学习者的期望,代表国家远赴中国参加更高层次的比赛,在国际舞台上精彩展现坦桑尼亚中文学习者的风采。​而坦桑尼亚小学生中文秀则为当地的小朋友们搭建了一个轻松愉悦的中文展示平台。孩子们在秀场上用稚嫩的声音演唱中文儿歌,表演简单的中文情景剧,或是展示自己学习中文的小成果,每一个认真的模样都充满了对中文的喜爱与热情。这项活动不仅激发了小学生们学习中文的兴趣,也让他们在欢乐中感受中文的魅力,更为中文在坦桑尼亚的普及注入了鲜活的活力。​这两项活动的意义早已超越了简单的赛事或表演,它们共同为坦桑尼亚不同年龄段的中文学习者提供展示才华、学习交流的机会,助力他们在比拼与互动中不断提升自己的中文水平和文化素养。同时,这两项活动也进一步深化了中坦两国之间的文化交流,让更多坦桑尼亚人通过中文走近中国,了解中国的历史、文化和社会发展,增进了两国人民之间的相互理解与深厚友谊。
        中坦人才招聘会
        中坦人才招聘会是一场具有重要意义的跨国人才交流活动,2016年起至2025年已成功举办四届。2025年第四届中坦人才招聘会由中国驻坦桑尼亚大使馆主办,达累斯萨拉姆大学孔子学院与坦桑尼亚中资企业商会共同承办,坦桑尼亚总理府劳工、青年、就业和残疾人事务部协办,举办地点设在达累斯萨拉姆大学——这片孔院深耕多年的学术沃土之上。​作为深耕坦桑尼亚的文化与教育交流阵地,达累斯萨拉姆大学孔子学院凭借其在当地积累的深厚人脉与文化影响力,为招聘会的顺利开展提供了关键支撑。招聘会的核心目的是搭建中坦人才交流的坚实平台,既为坦桑尼亚人才提供了更多就业选择,助力当地就业市场的发展;也为深化两国经贸合作输送了所需的人力资源;同时吸引了更多年轻人加入中文学习的行列,助力人才和企业的精准对接。第四届中坦人才招聘会的成功举办,得到了坦桑尼亚外交部的高度认可,他们专门发来照片表示祝贺。同时,坦外交部还提出了宝贵建议,希望未来类似活动能延长至一天以上,让更多人才有充足时间参与,并建议邀请更多媒体进行报道,让中坦人才交流的影响力进一步提升。达累斯萨拉姆大学孔子学院也将积极响应这些建议,为后续活动的优化贡献力量。​展望未来,达累斯萨拉姆大学孔子学院将以人才招聘会为重要纽带,不断助力中坦各领域合作,共同书写互利共赢的崭新篇章。
          待翻译
          待翻译
        Contacts
        Address: No. 15 Xueyuan Road, Haidian District, Beijing, China
        Tel.: 86-10-63240618
        Fax: 86-10-63240616
        Zip Code: 100083
        Email: info@ci.cn
        返回顶部